.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumanne, 12 Mei 2015

Tagged Under:

MRISHO NGASSA ASAINI RASMI KUCHEZA KLABU YA FREE STATE STARS YA SOUTH AFRICA.

By: Unknown On: Jumanne, Mei 12, 2015
  • Share The Gag

  • Sasa ni rasmi, mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amemwaga wino kuichezea klabu ya Free State Stars ya Ligi Kuu Afrika Kusini kwa miaka minne .
    Ngasa ameripotiwa kufurahia mkataba huo mnono na kuanza kwake kwa maisha mapya baada ya kucheza nyumbani kwa miaka kadhaa.

    Ngasa ameonekana katika mitandao kadhaa akiwa na kocha wa timu hiyo baada ya kusaini mkataba.
    “Nataka kutumia fursa hii kuitangaza soka ya Tanzania na nitajituma ili kufanya vizuri zaidi", amesema mchezaji huyo.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni