.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatano, 28 Oktoba 2015

Tagged Under:

CAPITAL ONE CUP: STOKE CITY 1 v 1 CHELSEA (PENATI 5-4)

By: Unknown On: Jumatano, Oktoba 28, 2015
  • Share The Gag

  • Loic Remy akiisaidia Chelsea kusawazisha kwa kufanya 1-1 na mtanange kwenda dakika 1201-0 Jonathan Walters akiifunga Chelsea dakika ya 52 kipindi cha pili, katika dakika za majeruhi Loic Remy ameisawazishia Chelsea bao na kufanya 1-1 na mpira kwendelea katika dakika za ziada 30 kwenye Uwanja wa Britannia Stadium huku Stoke wakiwa pungufu 10 uwanjani baada ya mwenzao Phillip Bardsley kupata kadi nyekundu dakika ya 90.Hali tete!!Diego Costa aumia na kutolewa nje
    VIKOSI:
    Chelsea starting XI

    Begovic, Zouma, Cahill, Terry, Baba, Ramires, Mikel, Willian, Oscar, Hazard, Diego Costa.
    Stoke City starting XI

    Stoke City starting XI
    Butland, Bardsley, Shawcross, Wollscheid, Muniesa, Whelan, Adam, Afellay, Arnautovic, Diouf, Walters.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni