.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumapili, 31 Mei 2015

Tagged Under:

FA CUP FAINALI: ARSENAL 4 vs 0 ASTON VILLA, WALCOTT, SANCHEZ, PER MERTESACKER NA GIROUD WAIPA UBINGWA WA 12 GUNNERS!!!

By: Unknown On: Jumapili, Mei 31, 2015
  • Share The Gag

  • Mabingwa kwa mara ya 12 ArsenalKwa mara ya 12 sasa!! Wana Gunners wakishangilia na Kombe lao!Giroud nae yale yale!! Mikono juu 4-0Mzee Wenger mikono juu!!
    Arsenal, ambao walikuwa wakitetea Taji lao walilotwaa Mwaka Jana, walikutana na Aston Villa waliokuwa wakisaka kulitwaa kwa mara ya kwanza tangu 1957.
    Lakini Msimu huu, kwenye Ligi Kuu England, Arsenal iliipiga Villa nje ndani kwa jumla ya Bao 8-0 na Fainali hii haikuonyesha hata chembe kama Villa wana ubavu wa kubadili hilo baada ya kutawaliwa Mechi nzima.
    4-0Jack W. mbele ya MashabikiArsene Wenger nae mbele ya mashabiki akiwashukuru kwa yooteUbingwa huo!Olivier Giroud aliifungia bao la nne Arsenal dakika za majeruhi dakika ya 90 akipata mpira kutoka kwa Alex Oxlade-Chamberlain na kuhitimisha Mchezo huo wa Fainali ya FA Cup kwenye Uwanja wa Wembley na mtanange kumalizika kwa bao 4-0 dhidi ya Aston Villa. Arsenal ni Ushindi wa mara ya 12 kuutwaa wakiwazidi kete moja Magwiji wa England Man United ambao wameutwaa mara 11.3-0 Furaha ya Kombe hiiBaadhi ya wachezaji wa Gunners wakipongezana chiniVilla akiwa hoi baada ya kujionea kichapo!FA Cup Final 2015
    Tim nae kachanganyikiwa!Per Mertesacker akiliona lango la wapinzani wao!Per Mertesacker alifunga bao la tatu na kufanya 3-0 dhidi Aston Villa akipata pasi kutoka kwa Santi Cazorla dakika ya 62 kipindi cha pili. Theo Walcott aliifungia bao kipindi cha kwanza dakika 40 baada ya kupata pasi kutoka kwa Alexis Sánchez. Mpaka nyavuni!
    Alexis Sánchez dakika ya 50 kipindi cha pili anaifungia bao la mbali kama yadi 30 na la pili na kufanya bao kuwa 2-0 dhidi ya Aston Villa.
    Theo Walcott aliifungia bao kipindi cha kwanza dakika 40 baada ya kupata pasi kutoka kwa Alexis Sánchez. Theo akiziona nyavu za Aston VillaTheo Walcott akishangilia bao lakeMajonzi kilio kwa Aston villaKipindi cha kwanza kinaendelea..Chupuchupu!Hector akiwekewa ngumu na mchezaji wa Aston Villa

    0 maoni:

    Chapisha Maoni