


Arsenal, ambao walikuwa wakitetea Taji lao walilotwaa Mwaka Jana, walikutana na Aston Villa waliokuwa wakisaka kulitwaa kwa mara ya kwanza tangu 1957.
Lakini Msimu huu, kwenye Ligi Kuu England, Arsenal iliipiga Villa nje ndani kwa jumla ya Bao 8-0 na Fainali hii haikuonyesha hata chembe kama Villa wana ubavu wa kubadili hilo baada ya kutawaliwa Mechi nzima.









Tim nae kachanganyikiwa!




Alexis Sánchez dakika ya 50 kipindi cha pili anaifungia bao la mbali kama yadi 30 na la pili na kufanya bao kuwa 2-0 dhidi ya Aston Villa.












0 maoni:
Chapisha Maoni