Arsenal, ambao walikuwa wakitetea Taji lao walilotwaa Mwaka Jana, walikutana na Aston Villa waliokuwa wakisaka kulitwaa kwa mara ya kwanza tangu 1957.
Lakini Msimu huu, kwenye Ligi Kuu England, Arsenal iliipiga Villa nje ndani kwa jumla ya Bao 8-0 na Fainali hii haikuonyesha hata chembe kama Villa wana ubavu wa kubadili hilo baada ya kutawaliwa Mechi nzima.
Tim nae kachanganyikiwa!Per Mertesacker akiliona lango la wapinzani wao!Per Mertesacker alifunga bao la tatu na kufanya 3-0 dhidi Aston Villa akipata pasi kutoka kwa Santi Cazorla dakika ya 62 kipindi cha pili. Theo Walcott aliifungia bao kipindi cha kwanza dakika 40 baada ya kupata pasi kutoka kwa Alexis Sánchez. Mpaka nyavuni!
Alexis Sánchez dakika ya 50 kipindi cha pili anaifungia bao la mbali kama yadi 30 na la pili na kufanya bao kuwa 2-0 dhidi ya Aston Villa.
Theo Walcott aliifungia bao kipindi cha kwanza dakika 40 baada ya kupata pasi kutoka kwa Alexis Sánchez. Theo akiziona nyavu za Aston VillaTheo Walcott akishangilia bao lakeMajonzi kilio kwa Aston villaKipindi cha kwanza kinaendelea..Chupuchupu!Hector akiwekewa ngumu na mchezaji wa Aston Villa
0 maoni:
Chapisha Maoni