.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 23 Mei 2015

Tagged Under:

MENEJA JOSE MOURINHO NDIE BORA BPL, EDEN HAZARD NAE MCHEZJI BORA!

By: Unknown On: Jumamosi, Mei 23, 2015
  • Share The Gag


  • Mkufunzi wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ametangazwa kuwa mkufunzi bora katika ligi ya Uingereza kwa mara ya tatu.
    Akihudumia kipindi chake cha pili katika kilabu hiyo rais huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 52 aliiongoza Chelsea kubeba taji lao la kwanza la ligi ya Uingereza katika kipindi cha miaka mitano pamoja na kombe la Ligi.

    Jose Mourinho ameiongoza Timu ya Chelsea na kuibuka na Ushindi

    John Terry akifurahia Ubingwa wao mapema mwezi wa tano kwenye tarehe 3 waliposhinda Mechi na kutwaa Ubingwa wa England kwa mara nyingine.
    Gary Cahill nae alifurahia

    Kiungo wa kati wa Chelsea Eden Hazard ambaye aliifungia Chelsea mabao 20 alitangazwa kuwa mchezaji bora wa ligi ya Uingereza msimu huu.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni