.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumapili, 19 Aprili 2015

Tagged Under:

FULL TIME: FA CUP - READING 1 vs 2 ARSENAL,

By: Unknown On: Jumapili, Aprili 19, 2015
  • Share The Gag

  • Alexis Sanchez celebrates his goalRaha ya Ushindi!Alexis Sanchez ndie aliyeipa ushndi Gunners leo dhidi ya Timu ya ReadingAlexis Sanchez celebrates scoring the first goal with team mates
    Mabingwa Watetezi wa FA CUP, Arsenal, Leo hii Uwanja wa Wembley Jijini London, wameichapa Timu ya Daraja la chini la Championship, Reading, Bao 2-1 katika Nusu Fainali ya FA CUP.
    Pasi safi ya Mesut Ozil ndiyo iliyompa nafasi Alexis Sanchez kuipa Bao la kwanza Arsenal Dakika ya 30 Bao ambalo lilidumu hadi Mapumziko.
    Alexis Sanchez celebrates with team mates after scoring
    Reading walisawazisha katika Dakika ya 54 kwa Bao la McCleary alieunganisha krosi ya Pogrebnyak kutoka kushoto kwa Goli.
    Hadi Dakika 90 kumalizika Gemu ilikuwa 1-1 na kuongezwa Dakika za Nyongeza 30.
    Alexis Sanchez aliipa Arsenal Bao la Pili na la ushindi katika Dakika ya 106 baada ya Shuti lake kumpenya Kipa Federici.
    Nusu Fainali nyingine itachezwa Kesho, pia Uwanjani Wembley, kati ya Aston Villa na Liverpool.
    Alexis Sanchez celebrates with Mesut Ozil after scoringAlexis Sánchez dakika ya 39 kipindi cha kwanza aliip Arsenal bao la kuongoza kwa kufanya 1-0 dhidi ya Readinng na kwenda mapumziko wakiwa wanaongoza kwa bao 1-0.

    Kipindi cha pili dakika ya 54 Garath McCleary aliwasawazishia bao Reading na kufanya 1-1. 
    Garath McCleary celebrates scoring his side's first goal
    Kwenye muda wa ziada dakika 30 ili kuhitimisha dakika 120 dakika ya 105 Sánchez aliwaongezea bao la pili Arsenal na kufanya bao kuwa 2-1Olivier Giroud battles with Alex PearceGiroud akifanya yakeOlivier Giroud has a shot stopped by Adam FedericiKipa wa Reading akiuweka kwapani mpira uliopigwa na GiroudreadingOlivier Giroud heads the ballPatashika Aaron Ramsey reacts after a missed chanceAaron akipagawa baada ya kukosa nafasi ya wazi leo hiiAaron Ramsey has a shot saved by Adam FedericiKipa wa Reading akiwa kwenye kibarua Garath McCleary celebrates with team mates after scoringGarath McCleary aliposawazisha bao dakika ya 54Mesut Ozil and Danny Welbeck look dejected after Garath McCleary equalisedGunners wakijiuliza baada da ya Reading kusawazisha baoPer MertesackerReading players have a team talk before the matchKikosi cha Reading kikipanga jinsi ya kufanya Wembley usiku huu dhidi ya ArsenalVIKOSI:
    Arsenal: Szczesny, Debuchy, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Coquelin, Ramsey, Cazorla, Ozil, Alexis, Welbeck
    Akiba: Ospina, Gabriel, Monreal, Flamini, Wilshere, Walcott, Giroud

    READING:
    Federici, Gunter, Obita, Pearce, Hector, Williams, Chalobah, McCleary, Robson-Kanu, Mackie, Pogrebnyak
    Akiba: Anderson, Kelly, Cooper, Karacan, Norwood, Cox, Yakubu

    0 maoni:

    Chapisha Maoni