Sturridge yupo nchini Marekani tangu Ijumaa lililopita na amewathibitishia hilo mashabiki kwa kuweka picha kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.
Inaaminika kwamba hatua ya kufanywa kwa upasuaji huo, itamuwezesha Sturridge kuwa katika hali nzuri ya kucheza kwa kujiamini kuanzia mwanzoni mwa msimu huu, baada ya kupata wakati mgumu katika kipindi cha msimu huu.
Meneja wa klabu ya Liverpool, Brendan Rodgers, anatarajia kuwa sanjari na mshambuliaji huyo wakati wa maandazlii ya msimu wa 2015-16, ambapo The Reds watafanya ziara nchini Australia pamoja na Malaysia.
0 maoni:
Chapisha Maoni