

''Bado nina matumaini kwamba siku moja nitainunua timu hiyo',' alisema Dangote mwenye umri wa miaka 58.''Naweza kuinunua bei ambayo wamiliki wake itakua vigumu kukataa'', huku akiongezea kuwa ''najua mpango wangu''.


La kushangaza ni kwamba Dangote ametaja hadharani kwamba Arsene Wenger anafaa kubadilisha mbinu yake akisema kuwa timu hiyo inahitaji mwelekeo mpya.
Dangote ambaye ana thamani ya dola bilioni 15 ni tajiri zaidi ya Stan Kroenke ambaye anamiliki hisa nyingi katika kilabu hiyo na Bilionea raia wa Uzbek Alisher Usmanov ambao wamekuwa wakipigania udhibiti wa kilabu hiyo katika miaka ya hivi karibuni.

KUHUSU ALIKO DANGOTE
Born: Kano, Nigeria
Age: 58
Occupation: Chairman and CEO of Dangote Group, a diversified conglomerate with interests in cement, sugar, flour, salt, pasta, beverages and real estate.
Estimated fortune of £10.4billion
Ranked by Forbes magazine as the 67th richest person in the world
Named Forbes Africa Person of the Year 2014
0 maoni:
Chapisha Maoni