.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Alhamisi, 7 Mei 2015

Tagged Under:

KLABU 10 TAJIRI DUNIANI BADO MAN UNITED INASHIKILIA NAFASI YA TATU,

By: Unknown On: Alhamisi, Mei 07, 2015
  • Share The Gag

  • Mabingwa wa Ulaya, Real Madrid, ndio Klabu yenye thamani kubwa Duniani kwa Mwaka wa Tatu mfululizo kwa mujibu wa utafiti wa Forbes, Magwiji wa Mahesabu Duniani.
    Licha ya Thamani ya Real kuporomoka kwa Asilimia 5 na kufikia Dola Bilioni 3.26, Mapato yao ya Dola Milioni 746 yamewaweka Nambari Wani.
    Kwenye 20 Bora, Klabu 8 zinatoka Ligi Kuu England wakati Serie A ina Timu 4 ingawa ya juu kabisa ipo Nafasi ya 9.

    Forbes wamesema Klabu za Italy zimeathirika Kibiashara Duniani kutokana na Skandali za Upangaji Matokeo Mechi, Viwanja vibovu na vya kizamani, Madeni na kuporomoka kwa Vipaji vya Wachezaji wao.
     

    TIMU 10 ZENYE THAMANI ($ NI MABILIONI)
    1. Real Madrid $3.26
    2. Barcelona $3.16
    3. Manchester United $3.10
    4. Bayern Munich $2.35
    5. Manchester City $1.38
    6. Chelsea $1.37
    7. Arsenal $1.31
    8. Liverpool $982
    9. Juventus $837
    10. AC Milan $775

    0 maoni:

    Chapisha Maoni