.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumanne, 17 Novemba 2015

Tagged Under:

NSSF YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO LA CHUO CHA IFM

By: Unknown On: Jumanne, Novemba 17, 2015
  • Share The Gag


  • Mchezaji wa timu ya mpira wa Kikapu ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Ephraim Mlawa (kushoto) akichuana na Juvenary Shichose wakati Bonanza la michezo la wanafunzi wa Chuo hicho lililofanyika, mwishoni mwa wiki katika Kituo cha Michezo cha JMK Youth Park na kudhaminiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kutoa vifaa vya michezo kwa timu zilizoshiriki mchezo wa soka. (Picha na Francis Dande)

    Timu za mpira wa kikapu kutoka Chuo cha IFM zikichuana katika Bonanza la michezo la wanafunzi wa chuo hicho.

    Kikosi cha timu ya Soka ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), BBF kikiwa katika picha ya pamoja.


    Kikosi cha timu ya Soka ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), DIT kikiwa katika picha ya pamoja.


    Mshauri wa wanafunzi wa Chuo cha IFM, Khamis Kihongoa akikagua timu ya DIT wakati wa Bonanza la michezo la wanafunzi wa Chuo cha IFM.

    Mshauri wa wanafunzi wa Chuo cha IFM, Khamis Kihongoa akikagua timu ya DIT wakati wa Bonanza la michezo la wanafunzi wa Chuo cha IFM.

    Mshambuliaji wa timu ya DIT, Shaban Juma (kushoto) akiwania mpira na mchezaji wa timu ya BBF, Yohana Galus wakati wa bonanza la michezo la wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) na kudhaminiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni