.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumapili, 10 Mei 2015

Tagged Under:

FULL TIME: CRYSTAL PALACE 1 vs 2 MANCHESTER UNITED,

By: Unknown On: Jumapili, Mei 10, 2015
  • Share The Gag


  • Chupchupuu!!!Marouane Fellaini aliifungia Manchester United bao la pili na kufanya 2-1 dakika ya 78 na mtanange kumalizika United wakiibuka kidedea kwenye Uwanja wa Selhurst Park, London mbele ya mashabiki 25009. Ushindi huu wa United unawapa Matumaini ya Kucheza Klabu Bingwa Ulaya msimu Ujao kwani wamefanikiwa kupata pointi 68 na wapo ndani nne bora wakiwa pia nafasi ya nne. Ashley Young akishangilia!Jason Puncheon dakika ya 57 kipindi cha pili alisawazisha bao na kufanya 1-1.Jason Puncheon akishangilia bao lake1-1Jason Puncheon baada ya kuweka sare
    Juan Mata akichonga penati.Mpaka nyavuni!Mata akishangiliaPongezi kwa MataMchezo huu pia Umemalizika ukimwachia Majeraha Luke Shaw na kulazimika kuondolewa Uwanjani na huku Wayne Rooney akipumzishwa baada ya kuumia Mguu.Luke Shaw kaumia tena na Hapa ni Dokta akimcheki kwa karibu sanaLuke Shaw kaumia tena na kulazimika kuondolewa UwanjaniMeneja wa Newcastle United Alan Pardew alipata muda akateta na wachezaji wake na kuwapa mbinuLuke Shaw akiondolewa Uwanjani huko Ugenini Selhurst ParkRooney nae yale yale!Rooney alipumzishwa!
    Wachezaji wa Crystal Palace wakimsimamia Mwamuzi Michael Olivier baada ya kutoa penati kwa UnitedJuan Mata dakika ya 19 kipindi cha kwanza aliifungia United bao kwa mkwaju wa penati nao Crystal Palace walisawazisha kupitia mpira wa adhabu frii kiki iliyofungwa na Jason Puncheon dakika ya 57 kipindi cha pili na kufanya 1-1.Van Gaal akisalimiana na Meneja mwenzie Alan Pardew

    0 maoni:

    Chapisha Maoni