

Straika wa Sevilla Carlos Bacca akiifungia bao la Ushindi kipindi cha pili dakika ya 73

Juhudi binafsi za Bacca zilimfanya aifungie bao mbili na Kipa wa Dnipro
Denys Boyko Pamoja na kuwa kulilinda vyema lango lake hakuona ndani bao
la mwisho la Bacca.

Bacca akishangilia

Carlos Bacca akiomba mara baada ya kufunga bao mbele ya wapiga picha pembeni ya Uwanja

Mchezaji wa zamani wa Blackburn Rovers Kalinic alishangilia bao lake huko Warsaw, Poland

Kalinic akipongezwa na Wana Dnipro

Dnipro Mashabiki waliosafiri kwenda kuishangiliaTimu yao

Carlos
Bacca ndie aliyewafungia bao la Ushindi Sevilla na kufanya Timu hiyo
kuibuka na Ushindi wa bao 3-2 dhidi ya Dnopro. Ushindi huu unawafanya
Sevilla kulibeba kombe hilo kwa mara ya nne.

Carlos
Bacca akishangilia moja ya bao lake usiku huu kwenye Fainali. Bacca
kaifungia Sevilla bao 2 la pili na la tatu na kuipa Ushindi.

Rotan wa Dnipro akishangilia ba la pili pamoja na Leo Matos

Bacca wa Sevilla akishangilia bao lake la pili huku Jose Antonio Reyes (kushoto) akimshangaa kwa ufundi wake

Kocha wa Zamani wa Manchester United nae alikuwa moja ya watazamaji katika Fainali hii ya Europa Ligi

Balaa mpaka nyavuni!

0 maoni:
Chapisha Maoni