Mabingwa wa Italy, Juventus, wakiwa kwao Juventus Arena Jijini Turin Nchini Italy, wameanza vyema Nusu Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI walipowafunga Mabingwa Watetezi Real Madrid Bao 2-1.


Hadi Haftaimu Magoli yalikuwa 1-1.

Tevez alifunga Penati hiyo na Juve kutangulia 2-1.









Tevez akisonga na mpira


Timu hizi zitarudiana tena Mei 13 huko Jijini Madrid Uwanjani Santiago Bernabeu.



0 maoni:
Chapisha Maoni