.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 25 Julai 2015

Tagged Under:

HIVI NDIVYO RAIS BARRACK OBAMA AWASILI NCHINI KENYA

By: Unknown On: Jumamosi, Julai 25, 2015
  • Share The Gag

  • Obama akishuka kwenye Ndege yake Kutua kwenye ardhi ya Kenya kwa mara nyingine

    Obama akitoka Kenya anaelekea Nchini  Ethiopia

    Rais wa Marekani, Barack Obama akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta leo. Pamoja nae ni Mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta. Obama aliwasili nandege yake ya Air Force One.

    Rais wa Marekani, Barack Obama akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta leo. Pamoja nae ni Mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta.

    Mtoto Joan Wamaitha, 8, ndiye Mkenya wa kwanza kumkaribisha Rais Barrack Obama nchini humo kwa kumpa shada la maua na kupiganae picha kadhaa za kumbukumbu kabla ya kwenda kulakiwa na mwenyejiwake Rais Uhuru Kenyatta.

    Rais wa Marekani, Barack Obama akisalimiana na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta leo.

    Rais wa Marekani, Barack Obama akikumbatiana na dada yake Auma Obama huku Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akiwaangalia.

    Obama alipokelewa na Mwenyeji wake.

    Gari Maalum la Rais  Obama  motorcade lilionekana  Nairobi
    Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta muda mfupi baada ya saa mbili za usiku.

    Alipowasili Rais Obama amelakiwa na mweyeji wake Rais Uhuru Kenyatta.
    mwendo wa saa mbili na robo rais Obama alitua ndege yake.
    Alipowasili alizungumza kwa muda mfupi na mwenyeji wake Rais Kenyatta na kisha kutia saini kitabu cha wageni kabla ya kuondoka.
    Obama sasa ameandikisha historia ya kuwa Rais wa kwanza wa Marekani, kuzuru Kenya akiwa ofisini.
    Obama anatarajiwa kufungua mkutano wa sita wa kimataifa kuhusu ujasiria mali katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini Nairobi.
    Baadaye rais huyo atafanya mashauriano na Rais Uhuru Kenyatta, Ikulu ya Nairobi.
    Siku yan Jumapili rais Obama atahutubia mkutano wa wakuu wa mashirika ya kijamii katika chuo kikuu cha Kenyatta kabla ya kuhutubia mkutano mwingine kwa wakenya wote katika uwanja wa Kasakani.
    Obama anatarajiwa kuondoka siku ya Jumapili kuelekea nchini Ethiopia.


    A happy Barack Obama joined a family dinner with his step-grandmother Mama Sarah, to his left, and half-sister Auma, to his right, at a family meal in Nairobi, Kenya

    The family gathering came as Obama made his first visit to Kenya as president
    Obama went to the meal in Nairobi at the hotel where he was staying soon after landing in the capital
    Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi.
    Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta muda mfupi baada ya saa mbili za usiku.
    Alipowasili Rais Obama amelakiwa na mweyeji wake Rais Uhuru Kenyatta.
    mwendo wa saa mbili na robo rais Obama alitua kwa ndege yake.
    Alipowasili alizungumza kwa muda mfupi na mwenyeji wake rais Kenyatta na kisha kutia saini kitabu cha wageni kabla ya kuondoka.
    Obama sasa ameandikisha historia ya kuwa rais wa kwanza wa Marekani, kuzuru Kenya akiwa ofisini.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni