
Jina la José Mourinho ni miongoni mwa majina yenye ushawishi mkubwa
sana kwa upande wa soka duniani..amekuwa kocha mwenye mafanikio makubwa
katika timu mbalimbali alizowahi kufundisha ikiwemo Chelsea ambayo
anaifundisha kwa sasa na ikiwa imechukua ubingwa wa EPL.
Mourinho pamoja na muda wake mwingi kuutumia katika soka lakini pia ni baba wa watoto wawili na muda mwingine anaoupata huutumia na familia yake…





Mourinho pamoja na muda wake mwingi kuutumia katika soka lakini pia ni baba wa watoto wawili na muda mwingine anaoupata huutumia na familia yake…





Aliingia kwenye kashfa ya kuwa na uhusiano na msichana kutoka Kenya ,Lelesit Silvana baada ya kutembelea nchi hiyo 2010

0 maoni:
Chapisha Maoni