.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumapili, 20 Septemba 2015

Tagged Under:

LOWASSA ATUA BUKOBA KWA KISHINDO LEO, MAMIA WAJITOKEZA KATIKA VIWANJA VYA GYMKHANA KWENYE MKUTANO!

By: Unknown On: Jumapili, Septemba 20, 2015
  • Share The Gag




  • Umati wa Wananchi wa Mji wa Bukoba ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Aghakhan kuhudhulia Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, leo Septemba 19, 2015





    Aliekuwa Meya Mji wa Bukoba, Anatory Amani akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Gymkhana, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.



    0 maoni:

    Chapisha Maoni