.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatano, 30 Septemba 2015

Tagged Under:

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: ARSENAL 2 v 3 OLYMPIAKOS, ARSENE

By: Unknown On: Jumatano, Septemba 30, 2015
  • Share The Gag

  • Felipe Pardo aliipa Olympiakos Bao la kuongoza lakini Theo Walcott akaisawazishia Arsenal ambao walikwenda Mapumziko wakiwa nyuma 2-1 baada ya Kipa wao David Ospina kujifunga mwenyewe.
    Kipindi cha Pili, Arsenal walisawazisha Dakika ya 65 kwa Bao la Alexis Sanchez lakini Dakika 1 baadae Olympiakos walifunga Bao la 3 na la ushindi wa 3-2 kupitia Alfred Finnbogason.
    Hii ni Mechi ya pili mfululizo kwa Arsenal kuchapwa katika Kundi F baada kupigwa 2-1 na Dinamo Zagreb na sasa wana kibarua kigumu cha kufuzu na kuwa Timu ya kwanza kufanya hivyo tangu Msimu wa 2012/13 tangu Galatasaray walipofungwa Mechi mbili za kwanza na kuweza kusonga hatua ya Mrtoano ya UCL.
    Ili kufanya hivyo, Arsenal inabidi kwanza washinde Mechi zao mbili zinazokuja na zote ni dhidi ya Bayern Munich.
    Arsenal wakubali yaishe! wapigwa bao 2-1, Wafungaji bao za Olympiakos ni Felipe Pardo 33' David Ospina 40' OG na Alfred Finnbogason 66. Bao za Arsenal zilifungwa na Theo Walcott dakika ya 35 na lile la Alexis Sánchez dakika ya 65 na mtanange kumalizika kwa 3-2 Olympiakos wakiibuka kidedea Emirates!

    Arsenal v Olympiakos

    0 maoni:

    Chapisha Maoni