.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatatu, 21 Septemba 2015

Tagged Under:

SOUTHAMPTON FC 1 vs 3 MANCHESTER UNITED,

By: Unknown On: Jumatatu, Septemba 21, 2015
  • Share The Gag

  • Martial akishangilia moja ya bao lake leo hii kwenye uwanja wa Southampton Anthony Martial aliisawazishia bao Man United katika dakika ya 34 kipindi cha kwanza na kufanya 1-1. Mata akipongezwa baada ya kuipata bao la tatu Man UnitedWakicheza Ugenini huko Saint Mary, Manchester United Leo wameifunga Southampton Bao 3-2 na kuchupa hadi Nafasi ya Pili kwenye Msimamo wa Ligi Kuu England wakiwa Pointi 2 tu nyuma ya Vinara Man City. 
    Shujaa wa Mechi hii ni Chipukizi mpya Anthony Martial aliefunga Bao 2 na la 3 kufungwa na Juan Mata huku Graziano Pelle akifunga Bao zote 2 za Southampton.
    Pelle alitangulia kuipa Southampton Bao katika Dakika ya 13 na Martial kusawazisha Dakika ya 34 na kupiga Bao la Pili Dakika ya 50 na kufuatiwa na Bao la Mata katika Dakika ya 68 huku Southampton wakifunga Bao lao Pili kwenye Dakika ya 86.
    Martial akishangilia bao lake la piliDepay na martial wakipongezanaAnthony Martial dakika ya 50 aliiomgezea bao la pili Man United na kufanya matokeo kuwa 2-1.3-1Raha ya ushindiBalaa!Mata akitawanya mashabiki
     Juan Mata alifanya 3-1 dhidi ya Southampton dakika ya 68, Dakika ya 86 Graziano Pellé aliifungia tena bao Southamton na kufanya 3-2 kwa bao la kichwa.Sadio Mane akiendesha mbele ya BlindMartial na Rooney wakijiulizaChalii!!1-0Graziano Pellé aanza kuipa bao Southampton mapema dakika ya 13 na kufanya 1-0.Wamekutana Mameneja! Koeman na Van Gaal

    0 maoni:

    Chapisha Maoni