Kufuatia
safari ya vijana watano wa U15 Asaad Ali Juma, Maziku Aman, Issa Abdi,
Kelvin Deogratias, Athumani Maulid waliokwenda kufanya mazoezi kwenye
klabu ya Orlando Pirates kufuatia mwaliko uliotolewa na TFF na klabu
hiyo, safari hiyo ilikamilika na vijana wamerejea nyumbani.
Vijana hawa waliongozana na Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF, Salum Madadi wakiwa Afrika Kusini walifanya mazoezi ya wiki moja kuanzia Septemba Mosi mpaka tarehe 7 Septemba, 2015 chini ya uangalizi wa Augusto Placious ambaye ni Mkurugenzi wa Ufundi wa Orlando Pirates.
Idara ya ufundi ya Orlando Pirates imejiridhisha na kiwango kilichoonyeshwa na vijana hao.
Vijana hawa waliongozana na Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF, Salum Madadi wakiwa Afrika Kusini walifanya mazoezi ya wiki moja kuanzia Septemba Mosi mpaka tarehe 7 Septemba, 2015 chini ya uangalizi wa Augusto Placious ambaye ni Mkurugenzi wa Ufundi wa Orlando Pirates.
Idara ya ufundi ya Orlando Pirates imejiridhisha na kiwango kilichoonyeshwa na vijana hao.
0 maoni:
Chapisha Maoni