June 27 2016 bunge la 11 litany mapitio
ya marekebisho ya muswada wa sheria ya mtoto ambayo imeelekeza kuwa mtu
atakayempa mimba mtoto ambaye kisheria anafahamika ni yule mwenye umri
wa chini ya miaka 18 basi atahukumiwa kifungo cha jela miaka 30.
‘Sheria ya kanuni za adhabu inawagusa hata ambao hawapo
shuleni ambao wapo chini ya miaka 18, ukifanya tendo la kujamiiana na
mtoto wa chini ya miaka 18 hata kama mlikubaliana utahesabia umebaka‘ –George MasajuJumatatu, 27 Juni 2016
Tagged Under:
Serikali imetangaza muswada mpya wa sheria ya wanaowapa watoto mimba
By:
Unknown
On: Jumatatu, Juni 27, 2016
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni