.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatano, 23 Septemba 2015

Tagged Under:

TWIGA STARS SASA KUPIMA UBAVU WAKE KWA KUWAVAA MALAWI

By: Unknown On: Jumatano, Septemba 23, 2015
  • Share The Gag
  •  


    Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania (Twiga Stars) inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Taifa ya Wanawake ya Malawi tarehe 24 Oktoba, mwaka huu nchini Malawi.

    Mechi hiyo kati ya Twiga Stars dhidi ya Malawi itachezwa jijini Lilongwe kufuatia mwaliko wa chama cha soka nchini Malawi (FAM) kuialika Twiga Stars kwenda nchini Malawi kwa ajili ya mchezo huo
    Mchezo huo wa kirafiki ni sehemu ya maandalizi ya vikosi vya timu zote mbili za Wanawake Tanzania na Malawi kwa ajili ya michuano mbalimbali.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni