.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumanne, 7 Julai 2015

Tagged Under:

MBUNGE WA CHADEMA HANUSURIKA NA HAJARI YA HELICOPTER JANA

By: Unknown On: Jumanne, Julai 07, 2015
  • Share The Gag
  • CHADEMAAR 
    Taarifa ilianza kuenea jioni ya July 07 2015 kwenye kuhusu ajali ya Helicopter iliyokua imebeba Wanachadema mbalimbali akiwemo mbunge Arumeru Mashariki Joshua Nassari.
    Kwenye ukurasa wa Twitter wa CHADEMA zimewekwa post kwamba Mbunge Joshua Nassari ndiye aliyepata ajali hiyo ya Helicopter, amepelekwa Hospitali kwa ajili ya matibabu pamoja na rubani na watu wengine ambao hawajatajwa, ni baada ya kunusurika.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni