.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatatu, 2 Novemba 2015

Tagged Under:

JOSE MOURINHO HANA SHAKA NA KIBARUA CHAKE DARAJANI LICHA VIPIGO MPAKA SASA!

By: Unknown On: Jumatatu, Novemba 02, 2015
  • Share The Gag

  • MENEJA wa Chelsea Jose Mourinho atabakia kwenye kibarua chake kwa sasa licha ya Jana kutandikwa 3-1 Uwanjani kwao Stamford Bridge na Liverpool kwenye Mechi ya Ligi Kuu England ikiwa ni ni kipigo chao cha 6 katika Mechi 11 za Ligi hiyo Msimu huu.
    Chelsea, ambao ndio Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu England, wapo Nafasi ya 15 kwenye Msimamo wa Ligi wakiwa Pointi 14 nyuma ya Vinara Man City.
    Akihojiwa mara baada ya kipigo cha Jana kama anadhani hiyo ndio Mechi yake ya mwisho kama Meneja, Mourinho alijibu: “Hapana. Sifikirii hilo!”

    Mourinho, ambae hajawahi kufungwa zaidi ya Mechi 6 za Ligi katika Msimu mmoja akiwa kama Meneja wa Chelsea, aliongeza: “Mapambano yanaendelea lakini wakati mwingine mapambano haya ni magumu kushinda. Unaingia kwenye mapigano na silaha nyingine!”
    Jose Mourinho na wasaidizi wake na viongozi wengin wakiteta jambo
    Mourinho wakijiuliza jambo

    Maswali yaliyobaki bila Majibu!!!

    #3-1 walinyukwa na Liverpool wakiwa nyumbani Stamford Bridge


    Jose Mourinho

    0 maoni:

    Chapisha Maoni