Mchezaji
wa Simba Hamis Kiiza(kushoto)akiwaonesha mashabiki wa timu yake mfano
wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 1/- aliyokadhiwa na Meneja
Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kulia)ambao ni wadhamini
wakuu wa lihi hiyo kwa kuibuka mchezaji bora wa ligi wa mwezi septemba
wakati wa mechi ya timu hiyo na Majimaji iliyochezwa mwishoni mwa wiki
ambapo timu yake ilishinda 6-1.Wengine katika picha wapili toka kushoto
ni Meneja biashara wa TFF,Peter Simon na Ofisa Udhamini na Matukio wa
kampuni hiyo,Ibrahim Kaude.
Jumanne, 3 Novemba 2015
Tagged Under:
HAMIS KIIZA AKABIDHIWA KITITA CHAKE NA WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
By:
Unknown
On: Jumanne, Novemba 03, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni