Dakika ya
55 kipindi cha pili Arjen Robben aliipa bao la nne Bayern na kufanya
matokeo kuwa 4-0 dhidi ya Arsenal baada ya kupokea mpira kutoka kwa
David Alaba. Bao la Arsenal limefungwa
na Olivier Giroud dakika ya 69 na kufanya 4-1. Thomas Müller aliandika
bao la tano dakika ya 89 na mtanange kumalizika kwa 5-1 dhidi ya
Arsenal.

4-0
Robert Lewandowski akishangilia bao lake.
David Alaba dakika ya 44 aliipachikia Bayern bao la tatu na kufanya mtanange kwenda mapumziko kwa 3-0 dhidi ya Timu ya Arsenal
Menenja wa Arsenal, Arsene Wenger
Akitupia nyavuni..
Kikosi cha Bayern kilichoanza dhidi ya Arsenal usiku huu
Ozil
VIKOSI:Bayern Munich: Neuer, Lahm, Boateng, Javi Martinez, Alaba, Alonso, Coman, Muller, Thiago, Douglas Costa, Lewandowski.
Akiba: Ulreich, Benatia, Robben, Rafinha, Badstuber, Vidal, Kimmich.
Arsenal: Cech, Debuchy, Mertesacker, Gabriel, Monreal, Coquelin, Cazorla, Campbell, Ozil, Sanchez, Giroud.
Akiba: Macey, Gibbs, Koscielny, Flamini, Chambers, Iwobi, Reine-Adelaide.
Refa: Gianluca Rocchi (Italy)
0 maoni:
Chapisha Maoni