
Huku Fulbeki huyo akitaka kuhama, Monaco imeripotiwa kulikataa Dau la Pauni Milioni 10 la Man United na kutaka walipwe mara mbili.

Nao Southampton wameiambia Man United kulipa Pauni Milioni 24 ikiwa wanataka kumnunua Kiungo mahiri Morgan Schneiderlin mwenye Miaka 25.

Hadi sasa Meneja wa Man United, Louis van Gaal amefanikiwa kumnunua Winga wa Holland na PSV Eindhoven, Depay Memphis, ambae ndie Mfungaji Bora wa Ligi Kuu huko Holland.

0 maoni:
Chapisha Maoni