.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Ijumaa, 12 Juni 2015

Tagged Under:

MSUVA MCHEZAJI BORA TANZANIA BARA, WAZAZI WAKE WAPOKEA TUZO YAKE

By: Unknown On: Ijumaa, Juni 12, 2015
  • Share The Gag
  • MSUVA MCHEZAJI BORA TANZANIA BARA, WAZAZI WAKE WAPOKEA TUZO YAKE


     
    Baba yake mshambuliaji wa Yanga, Happygod Msuva, mkewe Suzan James na binti yao Mary ambaye ni dada wa Msuva wakipokea zawadi ya mchezaji bora wa Tanzania Bara aliyoshinda Msuva.


    Wazazi na dada yake Msuva walikabidhiwa tuzo hiyo na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia ambaye aliwahi kuwa Katibu Mwenezi wa Simba.
    Msuva ameshinda tuzo hiyo kwa kuwapiku Mrisho Ngassa na beki wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’.
    KWA HISANI YA SALEH JEMBE BLOG

    WAZAZI WA MSUVA WAKIPOKEA ZAWADI YA MFUNGAJI BORA.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni