.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Ijumaa, 19 Juni 2015

Tagged Under:

Jibu alilolitoa Diamond kwa shabiki aliyemkasirisha kwa kukerwa na hizi picha alizopost

By: Unknown On: Ijumaa, Juni 19, 2015
  • Share The Gag
  • Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz yuko Afrika Kusini kwa ziara ya kimuziki ambapo mapema wiki hii alisimamia Yamoto Band kwenye video yao ya kwanza kuitengeneza kimataifa kisha tuzo za MTV alikochaguliwa lakini pia amefanya kolabo na staa wa muziki kwenye nchi hiyo aitwae Donald.
    Kwenye page yake ya twitter alikua akiRT na kupost picha akiwa kwenye vituo vya Radio za South Afrika akiwa na Donald katika kuipromote hiyo single yao mpya ambapo wakati akiwa anaendelea kupost hizo picha alitokea shabiki mmoja kwenye twitter akamuandikia Ushamba huo hata interview unarusha, kina ngosha washafanya hizo kibao tu, vitu vingine vya kawaida sana wewe‘

    0 maoni:

    Chapisha Maoni