




Man City wametwaa uongozi wa Ligi Kuu England baada ya Leo kuichapa Newcastle Bao 6-1 Uwanjani Etihad huku Straika wao Sergio Aguero akipiga Bao 5.
City walitanguliwa Bao 1-0 kwa Bao la Dakika ya 18 la Aleksandar Mitrovic lakini Aguero alisawazisha Dakika ya 42 na Mechi kwenda Haftaimu ikiwa 1-1.

Ushindi huu umewapa uongozi wa Ligi City wakiwa na Pointi 18, Pointi 2 mbele ya Man United ambao kesho wako Emirates kucheza na Arsenal.




Man City: Hart, Zabaleta, Otamendi, Mangala, Kolarov, Fernando, Fernandinho, De Bruyne, Silva, Sterling, Aguero.
Subs: Sagna, Caballero, Bony, Jesus Navas, Demichelis, Iheanacho, Garcia.
Newcastle: Krul, Janmaat, Mbemba, Coloccini, Mbabu, Sissoko, Wijnaldum, Anita, Gouffran, Mitrovic, Perez.
Subs: Williamson, Cisse, De Jong, Lascelles, Thauvin, Elliot, Tiote.
Referee: Kevin Friend
0 maoni:
Chapisha Maoni