.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 31 Oktoba 2015

Tagged Under:

MBEYA CITY WASHUSHA BUS

By: Unknown On: Jumamosi, Oktoba 31, 2015
  • Share The Gag

  • 11218903_963430877028605_2270729444866256425_n
    Wafanyakazi wa kampuni ya Screen Masters Limited ya jijini Dar wakiendelea kulipamba basi la Mbeya City. 
    12079536_963430803695279_6917505578594463550_n
    Basi la klabu ya Mbeya City FC baada ya kupambwa na kampuni ya Screen Masters Limited ya Dar es Salaam tayari kuanza shughuli ya kusafirisha wachezaji wa timu hiyo kwa safari za ndani na nje ya Mbeya kwenye mechi mbalimbali za Ligi Kuu Bara.

    12196214_1667951416755226_8732075203516045367_n


    Hatua kubwa sana hongera kwa uongozi wa timu,baada ya basi nini kinafuata usichoke kuwa nasubira kikubwa tuendelee kuisapoti timu yetu.
    Posted by Mbeya City Fans on Thursday, October 29, 2015

    0 maoni:

    Chapisha Maoni