
Ivan Rakitic akipongezana na Jordi Alba baada ya kuichapa BATE Borisov kipindi cha pili

Mlinda mlango Sergei Chernik akifanyiwa mbaya na Rakitic
Luis Suarez akifanya yake kwa wachezaji wa BATE
Mchezaji wa BATE Borisov Maksim Volodko akimkaba kwa nyuma Sergi Roberto leo jumanne usiku 
Volodko na Javier Mascherano wakipambana kwenye Champions League
Neymar akichuana na Vitali Gayduchik wa BATE
Rakitic na Nemanja Nikolic

Mchezaji wa Barca Munir El Haddadi akimiliki mpira

Suarez akigombea mpira wa kichwa

Ivan Rakitic dakika ya 64 alipachika tena bao na Barca kuongoza kwa bao 2-0 dhidi ya Bate.
Kipindi cha pili dakika ya 48 Ivan Rakitic aliwapatia bao la kuongoza Barca kwa kufanya 1-0 baada ya kupata ushirikiano safi kutoka kwa Neymar
0 maoni:
Chapisha Maoni