.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumanne, 20 Oktoba 2015

Tagged Under:

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: BATE 0 v 2 BARCELONA,

By: Unknown On: Jumanne, Oktoba 20, 2015
  • Share The Gag



  • Ivan Rakitic akipongezana na  Jordi Alba baada ya kuichapa  BATE Borisov kipindi cha pili

    Mlinda mlango  Sergei Chernik akifanyiwa mbaya na Rakitic
    Luis Suarez akifanya yake kwa wachezaji wa BATE
    Mchezaji wa BATE Borisov Maksim Volodko akimkaba kwa nyuma  Sergi Roberto leo jumanne usiku
    Volodko na  Javier Mascherano wakipambana kwenye  Champions League
     Neymar akichuana na  Vitali Gayduchik wa BATE

    Rakitic na  Nemanja Nikolic

    Mchezaji wa Barca Munir El Haddadi akimiliki mpira

    Suarez akigombea mpira wa kichwa

    Ivan Rakitic dakika ya 64 alipachika tena bao na Barca kuongoza kwa bao 2-0 dhidi ya Bate.Nemanja Nikolic akichana na Ivan Rakitic wa Barca mapema kipindi cha kwanza abacho kilimalizika 0-0. 
    Kipindi cha pili dakika ya 48 Ivan Rakitic aliwapatia bao la kuongoza Barca kwa kufanya 1-0 baada ya kupata ushirikiano safi  kutoka kwa Neymar

    0 maoni:

    Chapisha Maoni