Rais
wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini amesema bado ana
moyo wa kutaka kumrithi Sepp Blatter kama Rais wa shirikisho la
Kandanda duniani FIFA, licha ya kupigwa marufuku ya siku 90 ili kupisha
uchunguzi wa madai ya ufisadi dhidi unaoendelea dhidi yake. Platini,
mpaka sasa anatumikia adhabu baada ya kupokea Pauni za Uingereza milioni
1.35 kutoka kwa Blatter mwaka 2011.
Jumanne, 20 Oktoba 2015
Tagged Under:
MICHEL PLATINI ASEMA BADO ANATAKA UONGOZI KUMRITHI BLATTER!
By:
Unknown
On: Jumanne, Oktoba 20, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni