.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Alhamisi, 15 Oktoba 2015

Tagged Under:

HII NDIO AJALI YA TOYOTA PROBOX LAWAKA MOTO UWANJA WA NDEGE JIJINI DAR

By: Unknown On: Alhamisi, Oktoba 15, 2015
  • Share The Gag

  • Gari aina ya Toyota Probox lenye namba za usajili T336 CKH likiendelea kuwaka moto eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar.
     


     

     

    Wananchi wakiendelea kuzima moto huo.


    Moshi ukiwa umetanda.

    Muonekano wa gari hiyo wakati ikiendelea kuwaka moto.
     


     
    Kitengo cha zima moto kikiendelea na kazi yake.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni