Alhamisi, 15 Oktoba 2015
Tagged Under:
Gari aina ya Toyota Probox lenye namba za usajili T336 CKH likiendelea kuwaka moto eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar.
Wananchi wakiendelea kuzima moto huo.
Moshi ukiwa umetanda.
Muonekano wa gari hiyo wakati ikiendelea kuwaka moto.
Kitengo cha zima moto kikiendelea na kazi yake.
HII NDIO AJALI YA TOYOTA PROBOX LAWAKA MOTO UWANJA WA NDEGE JIJINI DAR
By:
Unknown
On: Alhamisi, Oktoba 15, 2015
Gari aina ya Toyota Probox lenye namba za usajili T336 CKH likiendelea kuwaka moto eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar.
Wananchi wakiendelea kuzima moto huo.
Moshi ukiwa umetanda.
Muonekano wa gari hiyo wakati ikiendelea kuwaka moto.
Kitengo cha zima moto kikiendelea na kazi yake.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni