Manchester United wamemsaini Kinda wa Holland Timothy Fosu-Mensah na kumpa Mkataba wake wa kwanza kama Mchezaji wa Kulipwa, yaani Profeshenali.
Man
United imetangaza habari hii kwenye Mtandao wao wa Twitter walipoposti
Picha ya Fosu-Mensah akiwa na Meneja Msaidizi Ryan Giggs.
Fosu-Mensah huweza kucheza Kiungo na alitua Man United Mwaka Jana kutoka Ajax.
Inasemekana
Meneja Louis van Gaal anamhusudu sana Kijana huyo ambae ndie Kepteni wa
Timu ya Taifa ya Holland ya Vijana wa chini ya Miaka 17, U-17.
Kijana huyo sasa ataichezea Timu ya Vijana ya Man United ya U-21 chini ya Kocha Paul McGuinnes.
Manchester United wamemsaini Kinda wa Holland MANCHESTER UNITED WAPYA
Memphis Depay (PSV Eindhoven) Ada Haikutajwa
Matteo Darmian (Torino) Ada Haikutajwa
Bastian Schweinsteiger (Bayern Munich) Ada Haikutajwa
Morgan Schneiderlin (Southampton) Ada Haikutajwa
Sergio Romero (Sampdoria) Ada Haikutajwa
Jumapili, 16 Agosti 2015
Tagged Under:
UHAMISHO: MANCHESTER UNITED WAMSAJILI KIJANA MDOGO WA HOLLAND U-17
By:
Unknown
On: Jumapili, Agosti 16, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni