.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Alhamisi, 27 Agosti 2015

Tagged Under:

Cristiano Ronaldo kafanya hili tena kwa muhanga wa tetemeko la ardhi

By: Unknown On: Alhamisi, Agosti 27, 2015
  • Share The Gag
  • Mwezi April kulitokea tetemeko la ardhi Nepal, tetemeko ambalo liliua watu wapatao 9,000. Miongoni mwa watu waliokuwa wahanga wa tetemeko hilo ni kijana mwenye umri wa miaka 13 Jetin Shrestha ambaye wakati tukio hilo likitokea kijana huyo alikuwa akicheza mpira.
    Ronaldo-main
    August 27 Cristiano Ronaldo karudi tena kwenye headlines na hii baada ya zile headlines za kutoa msaada wa maafa hayo kwa kutoa pound milioni 7, amemtumia Jetin Shrestha jezi ya Real Madrid aliyoisaini yenye namba saba na jina lake, Ronaldo amefanya hivyo ikiwa ni miezi michache imepita toka atoe pound milioni 7 kwa wahanga wa tetemeko hilo.
    “Nampenda Cristiano Ronaldo naipenda Real Madrid siku moja ningependa kucheza Real Madrid kwa sababu napenda mpira”>>> Jetin Shrestha
    Cristiano-Ronaldo-sends-shirt (3)
    Cristiano-Ronaldo-sends-shirt (2)
    Cristiano-Ronaldo-sends-shirt (1)

    0 maoni:

    Chapisha Maoni