.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumapili, 16 Agosti 2015

Tagged Under:

CRYSTAL PALACE 1 vs 2 ARSENAL, BAO LA KUJIFUNGA LAWAPA USHINDI ARSENAL UGENINI!

By: Unknown On: Jumapili, Agosti 16, 2015
  • Share The Gag

  • Bao la Arsenal la kwanza limefungwa na Olivier Giroud dakika ya 16 na kipindi hicho hicho Crystal Palace walisawazisha kupitia kwa Joel Ward dakika ya 28 na kufanya 1-1. Kipindi cha pili dakika ya 55 Damien Delaney alijifunga dakika ya 55 na kuwapa bao la Ushindi Arsenal na mtanange kumalizika kwa bao 2-1 Arsenal wakiibuka washindi.
    Mbele ya Mashabiki 24,732.
    Mbele ya Mashabiki 24,732.


    Fowadi wa Arsenal, Alexis Sanchez
    Difenda Damien Delaney akijifunga!

    1-1
    Olivier Giroud akituma salaam dakika ya 16
    Mambo safi!! Arsene Wenger akipongeza pamoja na Viongozi wengine

    Kipa Petr Cech

    0 maoni:

    Chapisha Maoni