

Wakati Liverpool hawajapoteza hata Mechi moja kwenye Ligi Msimu huu baada ya kushinda Mechi 2 na hii Sare na sasa wako Nafasi ya 3 wakifungana na Man United, Arsenal wao wako Nafasi ya 9 wakiwa wamefungwa Mechi 1, Ushindi 1 na Sare 1.
Arsenal walianza Ligi Msimu huu mpya kwa kufungwa Mechi yao ya kwanza 2-0 na West Ham wakiwa hapo Emirates na Wikiendi iliyopita kushinda 2-1 Ugenini walipocheza na Crystal Palace wakati Liverpool wameshinda Mechi zao mbili, kwa Bao 1-0 kila Mechi, walipocheza Ugenini na Stoke City na kisha Nyumbani Anfield na Bournemouth.


0 maoni:
Chapisha Maoni