
Wakicheza mchezo wa kuvutia na wa kasi FC Bayern wameibuka na ushindi wa magoli 5-0.

Beki wa Kimorocco Mehd Benatia alianza kuifungia Bayern goli katika dakika ya 27 ya mchezo kabla ya Robert Lewandoski kuongeza la pili katika dakika ya 53.



Copyrights @ 2014, Gagism Blogger Template - Designed By Templateism | ProBloggerTricks Back to Top
0 maoni:
Chapisha Maoni