.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatano, 26 Agosti 2015

Tagged Under:

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: CLUB BRUGGE 0 vs 4 MANCHESTER UNITED, Agg(1-7) UNITED WATAKATA UGENINI UBELGIJI, WAYNE ROONEY APIGA HAT-TRICK!

By: Unknown On: Jumatano, Agosti 26, 2015
  • Share The Gag

  • Wayne Rooney akiondoka na mpira wake Uwanjani baada ya kupiga hat-trickAnder akishangilia bao lake la nne kwa man unitedAnder Herrera alifunga bao lake dakika ya 63 kipindi cha pili na kufanya 4-0 huku matokeo jumla yakiongezeka na kuwa (1-7). Dakika ya 81 Chicharito aliteleza na kukosa mkwaju wa penati kwa kupiga mpira vibaya kwa nje.
    Rooney anaondoa ukame wa mabao katika Mtanange huu wa marudiano anatupia bao tatu kwa mpigo.. Hat-trick!
    Chicharito alikosa nafasi ya wazi hapaNa hapa akiwa chini baada ya kukosa penati Hernandez akiwa chini akijiuliza baada ya kukosa penatiChicharito aliteleza wakati wa upigaji penati kipindi cha pili mwishoniMweleka!Balaa! Ander akishangilia bao
    Wayne Rooney alipiga hat-trick kwa kufunga bao la tatu dakika ya 57 kipindi cha pili na kufanya 3-0.Dakika ya 49 kipindi cha pili Wayne Rooney aliipatia bao la pili Man United na kufanya 2-0 dhidi ya Club Brugge.Rooney akishangilia moja ya bao lake usiku huu.Wayne Rooney akishangilia bao lake mapema kipindi cha kwanza dakika ya 20 baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Depay. Kipindi cha kwanza kilimalizika United wakiwa mbele ya bao 1-0, (Agg 1-4).
    Rooney na Depay wakipongezanaDakika ya 20 kipindi cha kwanza Wayne Rooney aliwafungia bao la kuongoza Man United kwa kufanya 1-0 dhidi ya Timu ya Club Brugge Nchini Ubelgiji.Kikosi cha Man UnitedSehemu ya Mashabiki wa Man UnitedSir Bobby na Mwenyekiti Ed W. ndani huko Belgium.Wakipasha kabla ya Mechi
    VIKOSI:
    Club Bruges:
    Bolat, De Fauw, Castelletto, Duarte, De Bock, Claudemir, Vormer, Vazquez, Bolingoli Mbombo, De Sutter, Diaby.
    Akiba: Bruzzese, Meunier, Vanaken, Cools, De Smul, Dierckx, Oulare.
    Man Utd: Romero, Darmian, Smalling, Blind, Shaw, Ander Herrera, Carrick, Mata, Januzaj, Depay, Rooney. 

    Akiba: Johnstone, Hernandez, Young, Fellaini, Schneiderlin, Schweinsteiger, McNair.
    Refa: Antonio Miguel Mateu Lahoz (Spain)

    0 maoni:

    Chapisha Maoni