Katibu mkuu wa Cuf Maalif Seif Shariff
Hamad akimlaki mgombea urais kupitia Ukawa Edward Lowassa wakati
alipowasiri visiwani Zanzibar kusawaka wadhamini wa kumdhami ikiwa
sehemu ya masharti ya kugombea urais katika uchaguzu mkuu oktoba 25 na
26 mwaka huu.
Jumatatu, 17 Agosti 2015
Tagged Under:
Mwenyekiti mwenza wa Ukawa James Mbatia naye akilakiwa na Katibu mkuu wa Cuf Maalif Seif Shariff Hamad leo.
HIVI NDIVYO EDWARD LOWASSA ZANZIBAR KUSAKA WADHAMINI KUINGIA IKULU 2015
By:
Unknown
On: Jumatatu, Agosti 17, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni