.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Alhamisi, 27 Agosti 2015

Tagged Under:

PICHA 9 ZA MKONO WA SALEH ALLY KUTOKA MLIMANI ZIKIONYESHA STARS WAKIFANYA YAO KWA MBAAALI NDANI YA UTURUKI

By: Unknown On: Alhamisi, Agosti 27, 2015
  • Share The Gag


  • Na Saleh Ally, Kartepe
    Kikosi cha Taifa Stars chini ya Kocha Mkuu, Charles Boniface Mkwasa, kimeendelea na mazoezi kwenye moja ya viwanja vya The Green Park Hotel hapa katika mji huu mdogo wa Kartepe, Uturuki.


    Mazoezi yalikuwa matamu na hizi ni picha 9 zilizopigwa kutoka mlimani na Saleh Ally 'Jembe' akitumia kamera yake ya kisasa kabisa, zinazoonyesha namna mazoezi yalivyokuwa nondo au shoka, ukizubaa umeumia.









    0 maoni:

    Chapisha Maoni