Msanii
 wa Reggae Princes Delyla akiongea na wadau wa Sanaa kwenye Jukwaa la 
Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii kwenye makao 
makuu ya Baraza hilo Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam. Kulia 
kwake ni Msanii Mwasiti Almas na Afisa Sanaa kutoka BASATA Augustino 
Makame.
  Msanii
 wa kizazi kipya Mwasiti Almas(katikati) akisisitiza jambo wakati 
akiongea na wadau wa Sanaa kwenye programu ya Jukwaa la Sanaa la Baraza 
la Sanaa la Taifa (BASATA) linalofanyika makao makuu ya Baraza hilo 
Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Msanii wa 
reggare Princes Dalyla na Afisa Sanaa kutoka BASATA Augustino Makame.
  Mtafiti
 na Msanii wa Reggae Innoncent Nganyagwa akifafanua jambo kwenye Jukwaa 
la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii. Kulia 
kwake ni Msanii mwenzake wa Reggae Princes Delyla. 
 Msanii Mwasiti akisakata muziki sambamba na mashabiki wake kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 




 
0 maoni:
Chapisha Maoni