.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 18 Julai 2015

Tagged Under:

MELBOURNE CITY 0 vs 1 MANCHESTER CITY

By: Unknown On: Jumamosi, Julai 18, 2015
  • Share The Gag
  •   


    Mchezaji wa Manchester City  Samir Nasri akipongezwa na wenzake akiwemo  Yaya Toure alipoifungia bao dakika za mwishoni dakika ya 86 leo hii huko Australia kwenye mechi ya Kirafiki kujiandaa na msimu mpya wa 2015/2016

    Ushindi! Nasri akipongezwa
    Nahodha wa City  Vincent Kompany akipambana kwenye mpira wa Kona leo dhidi ya Melbourne City ya huko Australia.

    Yaya Toure akipambana na Wachezaji wawili wa Timu ya Melbourne leo kwenye mtanange wa kirafiki.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni