Hadi Mapumziko PSG 2 Man United 0.Mechi hii ilikuwa ni mechi ya 4 na ya mwisho kwa Man United wakiwa Ziarani huko USA na walishinda mechi zao 3 za awali kwa kuziangusha Club America ya Mexico (1-0), San Jose Earthquakes ya USA (3-1) na Barcelona (3-1).Katika mchezo huo kukaba ndio ilikuwa nguzo!!
Zlatan Ibra
Michael CarrickDepayNdani ya Uwanja wa Soldier Field, Chicago, United States
Manchester United mpaka sasa hajapata bao, Paris Saint-Germain wanaongoza bao 2-0 zilizofungwa kipindi cha kwanza dakika ya 25 na Blaise Matuidi na lilie la dakika ya 34 na Zlatan Ibrahimovic.
0 maoni:
Chapisha Maoni