Kiota Kipya Cha Maraha kimezinduliwa Kimezinduliwa Jijini Dar es
Salaam jana Jiioni. Kiota hicho Jozi Lounge, inapatikana Pande za
Msasani Village, jirani kabisa na Shule ya Msingi Msasani.
Mmiliki wa Jozi Lounge, Dismass Massawe (kushoto) akifungua Champaign wakati wa uzinduzi wa kiota hicho. Hafla hiyo ilihudhuriwa na wadau mbalimbali ambao walikunywa na kucheza mpaka majogoo.Hiyo ndiyo habari ya Mujini.
Mmiliki wa Jozi Lounge, Dismass Massawe (kushoto)huku meneja wake ni Nick Rawlings(Mzungu anayefungua Champaign).
Sehemu ya Counta ya kiota hicho cha Jozi.
Mmiliki wa Jozi Lounge, Dismass Massawe (kushoto) akifungua Champaign wakati wa uzinduzi wa kiota hicho. Hafla hiyo ilihudhuriwa na wadau mbalimbali ambao walikunywa na kucheza mpaka majogoo.Hiyo ndiyo habari ya Mujini.
Mmiliki wa Jozi Lounge, Dismass Massawe (kushoto)huku meneja wake ni Nick Rawlings(Mzungu anayefungua Champaign).
Sehemu ya Counta ya kiota hicho cha Jozi.
0 maoni:
Chapisha Maoni