Timu zikiingia Uwanjani asubuhi yale jumamosi
Kikosi kilichoanza cha Man United
Vikosi vyote viwili kwenye Line up
Mtanange ukiendelea kwenye patashika lango la Club America!
Mashabiki wakiishangilia Timu ya Man UnitedMorgan Schneiderlin Anaipachikia bao la mapema la kichwa na kufanya 1-0 dhidi ya Club America katika dakika ya 5 baada ya kusaidiwa na Juan Mata aliyeunganisha mpira wa kona na kumpata Morgan. Schneiderlin anaanza vyema Man United!
Hadi Mapumziko Manchester United 1 Club America 0. Kipindi cha pili kiliendelea vyema na Kocha kabla ya Mechi hii, Meneja wa Man United Louis van Gaal alisema atachezesha Timu mbili na kweli alifanya hvyo baada ya kubadili Wachezaji 11 kwa ajili ya Kipindi cha Pili.
Kwa
Kipindi cha Kwanza, Man United walianza na Kipa Sam Johnstone, Mabeki
Darmian, Phil Jones, Daley Blind na Luke Shaw, Viungo Michael Carrick,
Schneiderlin, Juan Mata na Ashley Young huku Mastraika wakiwa Memphis
Depay na Wayne Rooney. Wachezaji 11 walioingizwa Kipindi cha Pili ni Kipa Lindegaard, McNair, Smalling, Evans, Blackett, Schweinsteiger, Herrera, Lingard, Pereira, Januzaj, Wilson.
Wachezaji wa Man United wakimpongeza Morgan Schneiderlin
Schneiderlin akipongezwa na Phil Jones pamoja na Memphis Depay

Wayne Rooney na Pablo Cesar Aguilar

Taswira ya Uwanja huo kwa Upande wa Screen kubwa ilipo
Eeeh!
Chupuchupu United wapate bao la pili
Januzaj akilindwa kwa karibu na Wachezaji wa Timu ya Club America
Man United XI: Johnstone, Darmian, Jones, Blind, Shaw, Carrick, Schneiderlin, Young, Mata, Memphis, Rooney
Club America: Gonzalez, Mares, Aguilar, Sambueza (c), Goltz, Arroyo, Samudio, Guemez, Quintero, Martinez, Buron
Mashabiki: 48,857
0 maoni:
Chapisha Maoni