.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumapili, 19 Julai 2015

Tagged Under:

BARCELONA NA RAIS MPYA KUONGOZA WACHEZAJI KATIKA UPIGAJI KURA

By: Unknown On: Jumapili, Julai 19, 2015
  • Share The Gag


  • ini2
    Mikakati ya kumpata Rais mpya wa klabu ya Barcelona umeanza kwenye uwanja wa Nou Camp huku nahodha wao Andres Iniesta akiwaongoza wachezaji wa zamani na wa sasa kupiga kura.
    ini
    Josep Bartomero anapewa nafasi kubwa ya kushinda kiti hicho ndani ya klabu hiyo.
    ini3
    Wachezaji wa zamani na mahodha wa klabu hiyo kwa nyakati tofauti Carles Puyol na Xavi walikuwa ni miongoni mwa watu waliojitokeza kupiga kura ili kuiweka klabu yao kwenye mikono salama.
    ini6
    Josep Bartomeu ni mgombea ambaye anapewa nafasi kubwa ya kuwa rais wa Barcelona lakini anapata upinzani mkali kutoka Joan Laporta, Austi Benedito pamoja na Toni Freixa.
    ini7

    0 maoni:

    Chapisha Maoni