.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Alhamisi, 23 Julai 2015

Tagged Under:

APR YAICHAPA LLBA FC YA BURUNDI 2-1 LEO UWANJA WA TAIFA.

By: Unknown On: Alhamisi, Julai 23, 2015
  • Share The Gag

  • Beki wa timu ya LLBA ya Burundi, Hakizimana Issa akijaribu kumzuia mchezaji wa timu ya APR ya Rwanda, Mubumbyi Barnabe katika mchezo wa Kome la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijioni Dar es Salaam. APR imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande)

    Beki wa LLBA FC ya Burundi, Manirakiza Aruna akioko hatari langoni mwake.

    Heka heka katika lango la timuya LLBA FC.

    Simbomana Patrick wa APR ya Rwanda (kulia) akichuana na mchezaji wa LLBA FC ya Burundi, Ndaye Chancel.

    Uwimana Messo akimiliki mpira uku akizongwa na mchezaji wa APR, Simbomana Patrick.

    Beki wa LLBA, Manirakiza Aruna (katikati) kiwania mpira.

    Bigirima Issa wa ARP (kushoto) akichuana na Uwimana Messo.

    Kocha wa APR ya Rwanda, Dusan Dule akitoa maelekezo kwa wachezaji wake.

    Manirakiza Aruna akichuana na mchezaji wa LLBA FC ya Burundi.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni