.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Alhamisi, 23 Julai 2015

Tagged Under:

CHRISTIAN BENTEKE AFANYA MAZOEZI NA WENZAKE KWA MARA YA KWANZA TANGU ATUE LIVERPOOL,

By: Unknown On: Alhamisi, Julai 23, 2015
  • Share The Gag


  • Straika mpya wa Liverpool amefanya mazoezi yake ya kwanza leo na Wenzake Liverpool tangu ajiunge na Klabu hiyo kwenye Uwanja wa Mazoezi wa Melwood.

    Benteke akiteta na  Mario Balotelli kwa furaha wakati wa Mazoezi

    Benteke akiwa karibu na mgeni mwenzake  Roberto Firmino

    Benteke akipiga kichwa mpira

    Benteke akipeana mpira na Philippe Coutinho, aliyecheza  Copa America msimu huu

    Benteke na mpira
    Kutua kwa Benteke ni habari nyingine  Balotelli na Fabio Borini wana kazi ya ziada

    Balotelli, Emre Can, Coutinho, na  Benteke wakati wanapasha kujiandaa na msimu mpya wa 2015/2016

    Picha ya Pamoja

    0 maoni:

    Chapisha Maoni