.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Ijumaa, 31 Julai 2015

Tagged Under:

mastaa wapya wa Liverpool walivyoipania ligi kuu

By: Unknown On: Ijumaa, Julai 31, 2015
  • Share The Gag


  • bbbb
    Agosti 8 pazia la ligi kuu ya Engaland linafunguliwa rasmi.
    Klabu zote zimeonekana kujipanga vyema ili kukabiliana na mikiki ya ligi hiyo, lakini wachezaji wapya wa Liverpool Christian Benteke na kiungo Mbrazil Firmino wameonyesha wamepania kuiletea klau yao mambo mazuri.
    Katika mazoezi ya Liverpool, wachezaji hao na wenzao wamekuwa wakifanya kila kitu kwa juhudi na kuonyesha kupanga kuleta mabadiliko makubwa katika kikosi chao ambacho wao ni sura mpya.
    Watazame wakiwa kwenye mazoezi yao…
    bente
    bente2
    bente3
    bente4
    bente5
    bente7

    try

    0 maoni:

    Chapisha Maoni