Mfungaji wa bao hilo la pekee ni Nahodha, John Raphael Bocco Kipindi cha kwanza na Kipindi cha pili hakuna aliyeziona nyavu za mwenzake.
Jumapili, 19 Julai 2015
Tagged Under:
AZAM FC imeanza vyema michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na
Kati, Kombe la Kagame baada ya kuwafunga KCCA ya Uganda bao 1-0 jioni ya
leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mfungaji wa bao hilo la pekee ni Nahodha, John Raphael Bocco Kipindi cha kwanza na Kipindi cha pili hakuna aliyeziona nyavu za mwenzake.
KAGAME CUP 2015: AZAM FC 1 - 0 KCCA,
By:
Unknown
On: Jumapili, Julai 19, 2015
Mfungaji wa bao hilo la pekee ni Nahodha, John Raphael Bocco Kipindi cha kwanza na Kipindi cha pili hakuna aliyeziona nyavu za mwenzake.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni